Header Ads Widget

KIKWETE: JPM AMETEKELEZA ILANI YA CCM KWA KIWANGO CHA JUU SANA

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekuwa Mgeni rasmi Kwenye Kampeni za CCM Kutoka Jimbo la Mbagala Jijini Dar es Salaam. Kwenye Mkutano huo Mkubwa Dkt Kikwete amezungumza mambo mengi yaliyofanyika na yaliyotekelezwa kama yalivyoahidiwa Kwenye Ilani ya CCM na Kueleza mambo makubwa yanayoenda Kufanyika Miaka mitano ijayo. Haya ndiyo aliyoyazungumza. 
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM










Post a Comment

0 Comments