Header Ads Widget

SABABU CHATO KUPIGWA KALENDA KUWA MKOA NA RAIS SAMIA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inakamilisha vigezo vitakavyoruhusu Chato kuwa Mkoa.

Akihutubia kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2021, leo Alhamisi Oktoba 14, 2021 Samia amesema iwapo vigezo vyote vitakamilika Serikali itatangaza kuanzishwa kwa mkoa huo.



"Bado (Chato) haijawa Mkoa.....kuna vigezo kadhaa bado tunaviangalia na vigezo hivi vikikidhi basi tunakwenda kulimaliza jambo hilo”amesema.

Mchakato wa kuanzishwa kwa mkoa huo tayari umeanza kwa kujadiliwa na kupitishwa kwenye vikao vya ngazi ya wilaya na mkoa wa Geita.

SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI


Post a Comment

0 Comments